Uchambuzi wa Bibilia

Uchambuzi wa Bibilia / February 27, 2019
Mihuri saba
Kama vile tunavyoweza kuisikia na kuiona treni inavyotujia, vivyo hivyo tunaweza kuyaona matukio angani yakitujia. Andamana nasi tupate kuelewa zaidi mafunzo kuhusiana mihuri saba zilizoko katika ufunuo.

Uchambuzi wa Bibilia / May 23, 2018
Matayarisho
Mambo yanayo huyu matayarisho, ni kuhusu sis kujiaanda kurudi kwake Yesu . Jiunge nasi katika mazungumzo haya tupate kujifunza pomoja.

Uchambuzi wa Bibilia / April 02, 2018
Uwakili wa kutoa kwa shukrani
Jiunge na funzo la leo, huku makini kuu ikiwa ni katika funzo la kutoa kwa shukrani.

Uchambuzi wa Bibilia / January 04, 2018
Kusdi Kikristo
Mara zote Mkristo anatakiwa kuwa radhi kuzichunguza imani zake. Katika upungufu twa himizwa kupitia maandishi na kiatbu cha warumi ambacho kimetuongoza robo hii ni kumtegemea Yesu.

Uchambuzi wa Bibilia / November 20, 2017
Kuishinda Dhambi
Hivi basi, tutazidi tutenda dhambi maanake hatuokolewi na matendo ama Sheria? Usipitwe na mjadala huu!!

Uchambuzi wa Bibilia / November 13, 2017
Adamu na Yesu
Warumi 5 yatuongoza katika majadiliano hapa Uchambuzi wa Bibilia Jiunge nasi katika Mazungumzo Tupate Kubarikiwa Pamoja!!

Uchambuzi wa Bibilia / November 07, 2017
Warumi
Jiunge nasi katika makala pambe ya Uchambuzi wa Bibilia ambayo ni mwanzo wa mafunzo yaliyo andaliwa katika msururu wa miezi tatu chini ya kitabu cha Warumi.

Uchambuzi wa Bibilia / November 07, 2017
Pambano
Jiunge nasi katika majadiliano hapa Hope Channel Kenya katika Uchambuzi wa bibilia. Twatumai tutabarikwa sote.

Uchambuzi wa Bibilia / November 07, 2017
Hali ya Binadamu
Jiunge nasi katika majadiliano haya tupate kujifunza hali zetu potovu na jinsi tunavo hitaji wokovu.